Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Patrick Kimaro: Askari aliyestaafu ajiandalia kaburi kabla ya kifo chake
Kifo ni jambo linalosubiriwa na kila mmoja lakini ni wachache wenye uwezo wa kujiandalia makazi baada ya kifo.
Askari Polisi mstaafu Patrick Kimaro ni mmoja kati ya wachache waliojiandalia kaburi na jeneza kabla ya kifo, uamizo huu ulitenganisha familia yake lakini je Sasa hali ikoje ikiwa ni mwaka mmoja tangu alioianza ujenzi wa kaburi hilo nyumbani kwako huko Moshi, Kilimanjaro.